Habari za Punde

UN Waadhimisha Miaka 73 ya Umoja wa Mataifa Kutoa Huduma Kwa Wazee wa Nyumba ya Sebleni Kuchunguza Afya Zao.

Wazee wakichunguuzwa Afya zao na kupatiwa matibabu katika Maadhimisho ya miaka 73 ya Umoja wa Mataifa Zanzibar kwa Wazee wanaoishi katika nyumba za  Wazee Sebleni Mjini Zanzibar.
Wazee wakichunguuzwa Afya zao na kupatiwa matibabu katika Maadhimisho ya miaka 73 ya Umoja wa Mataifa Zanzibar kwa Wazee wanaoishi katika nyumba za  Wazee Sebleni Mjini Zanzibar.
Wazee wakichunguuzwa Afya zao na kupatiwa matibabu katika Maadhimisho ya miaka 73 ya Umoja wa Mataifa Zanzibar kwa Wazee wanaoishi katika nyumba za  Wazee Sebleni Mjini Zanzibar.
Naibu Waziri wa Kazi uwezeshaji Wazee Vijana wanawake na watoto Zanzibar  Shadya Moh’d Suleiman  akizungumza na Wazee wanaoishi Sebleni katika maadhimisho ya miaka 73 ya Umoja wa Mataifa.
Mwakilishi wa Mashirika ya  Umoja wa Mataifa  Tanzania Alvoro Rogriguez akifanya  vipimo vya afya yake katika Maadhimisho ya miaka 73 ya Umoja wa Mataifa Zanzibar katika makaazi ya  Wazee Sebleni Mjini Zanzibar.

Baadhi ya Vijana  walioshirika  Maadhimisho  ya miaka 73 ya Umoja wa Mataifa  wakifanya usafi katika Nyumba wanazoishi  Wazee  Sebleni Mjini Zanzibar.
                           Picha na Miza Othman Maelezo –Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.