Msikiti Mpya wa Maisara Zanzibar ukiwa katika haiba mzuri baada ya kukamilika ujenzi wake na kutarajiwa kufunguliwa Inshallah Siku ya Ijumaa katika Sala ya Isha usiku kesho.
SOKO LA SAMAKI KATORO LAKOSA MIONDOMBINU YA MAJI TAKA
-
Wafanyabiashara wa soko la CCM katika mamlaka ya mji mdogo wa Katoro
halmashauri ya wilaya ya Geita wamelalamikia uhaba miundombinu ya
kutiririshia maji ...
1 hour ago
0 Comments