Beki wa Timu ya Mlandege kushoto Nassor Mattar akiondoa mpira huku mshambuliaji wa Timu ya JKU Abubakar Ame akijiandaa kumzuiya wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar Timu hizo zimetoka sare ya 0-0
MCHEZAJI wa Timu ya JKU na Mlandege wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar Timu hizo zimetoka sare ya bila kufungana.
MCHEZAJI wa Timu ya JKU na Mlandege wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar Timu hizo zimetoka sare ya bila kufungana.
No comments:
Post a Comment