Habari za Punde

MAJALIWA AZINDUA X- RAY YA KIDIGITALI KATIKA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA RUVUMA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisikiliza taarifa ya Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Majura Magafu kuhusu ukarabati wa Jengo la Wakinamama wajawazito wanaosubiri kujifungua katika hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Ruvuma mjini Songea, Januari 5, 2019. Wapili kulia ni Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Faustine Ndugulile,  wapili kulia ni Waziri wa Kilimo, Japhet Hasunga na kushoto  ni Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Christina Mndeme
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akiongozwa na  Kaimu Mganga Mkuu  wa Mkoa wa Ruvuma, Majura Magafu (kulia) kukagua  ukarabati wa jengo la wakinamama wajawazito wanaosubiri kujifungua katika hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Ruvuma mjini Songea, Januari 5, 2019.  Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Christina Mndeme
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akiongozwa na  Kaimu Mganga Mkuu  wa Mkoa wa Ruvuma, Majura Magafu (kulia) kukagua  ukarabati wa jengo la wakinamama wajawazito wanaosubiri kujifungua katika hospitali ya Rufaa ya  mkoa wa Ruvuma mjini Songea, Januari 5, 2019.   Wapili kulia ni Naibu Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii, Jinsia , Wazee na Watoto, Dkt. Faustine Ndugulie na kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Christina Mndeme.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimpa pole mtoto, Patric Chenya  wakati alipotembelea wodi ya watoto katika hospitali ya Rufaa ya Mkoa  wa Ruvuma mjini Songea, Januari 5, 2019. Kulia ni Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Faustine Ndugulile.
 Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa  akizungumza na Bibi Kanisia Fusi anayemuuguza mwanae, Mushidi Ngonyani wakati alipotembelea wodi ya watoto katika hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Ruvuma mjini Songea
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikata utepe wakati alipozindua  X-Ray ya kidigitali kwenye hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Ruvuma, Januari 5, 2019.  Kulia ni Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt, Faustine Ndugulile na kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Christina Mndeme.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kuhusu Mashine ya Kidigitali aliyoizindua katika hospitali ya Mkoa wa Ruvuma kutoka Mtalaam wa tiba ya mionzi (Medical Technologist), Lincleth Gingo kwenye hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Ruvuma mjini Songea, Januari 5,2019. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Christina Mndeme na wapili kushoto ni Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Wtoto, Dkt. Faustine Ndugulile.
Wananchi wa Songea wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipozungumza baada ya kuzindua Mashine ya  X-Ray ya Kidigitali kwenye hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Ruvuma.


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza baada ya kuzindua mashine ya X- Ray ya Kidigitali kwenye hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Ruvuma mjini Songea, Januari 5, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.