Ujenzi wa Mitaro ya kupitishia maji machafu na ya Mvua katika maeneo mbalimbali ukiendelea na Ujenzi huo katika maeneo mbalimbali ya Mji wa Unguja. kama inavyoonekana Ujenzi huo ukiendelea katika eneo la mikunguni mtaro huo ukiwa katika uchimbaji huo kuunganishwa na eneo linalokaa maji la sebleni kuungani mtaro huo kuweza kuondoa maji haji hadi pwani ya kinazini.
MWENGE WA UHURU WAZINDUA KITUO CHA POLISI NYAKITONTO KWA AJILI YA KUONGEZA
USALAMA
-
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ismail Alli Issu, amesema
uwepo wa miradi mingi yenye thamani kubwa katika Halmashauri ya Wilaya ya
Kasulu ni...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment