Ujenzi wa Mitaro ya kupitishia maji machafu na ya Mvua katika maeneo mbalimbali ukiendelea na Ujenzi huo katika maeneo mbalimbali ya Mji wa Unguja. kama inavyoonekana Ujenzi huo ukiendelea katika eneo la mikunguni mtaro huo ukiwa katika uchimbaji huo kuunganishwa na eneo linalokaa maji la sebleni kuungani mtaro huo kuweza kuondoa maji haji hadi pwani ya kinazini.
MSIZIFANYIE ‘’LAMINATION’’ HATI MILKI ZA ARDHI-MHANDISI SANGA
-
Na *Munir Shemweta, CHALINZE*
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhandisi
Anthony Sanga amesema Hati miliki za Ardhi zinazotole...
25 minutes ago
No comments:
Post a Comment