Ujenzi wa Mitaro ya kupitishia maji machafu na ya Mvua katika maeneo mbalimbali ukiendelea na Ujenzi huo katika maeneo mbalimbali ya Mji wa Unguja. kama inavyoonekana Ujenzi huo ukiendelea katika eneo la mikunguni mtaro huo ukiwa katika uchimbaji huo kuunganishwa na eneo linalokaa maji la sebleni kuungani mtaro huo kuweza kuondoa maji haji hadi pwani ya kinazini.
LAVENDER CATERING YAANDAA BATA LA MFUNGO
-
Katika tukio la kipekee kabisa kwenye kipindi hiki cha mfungo wa Ramadan na
Kwaresma limegusa watu wengi katika kusheherekea kwa pamoja na familia zao
kwa ...
7 hours ago
0 Comments