Ujenzi wa Mitaro ya kupitishia maji machafu na ya Mvua katika maeneo mbalimbali ukiendelea na Ujenzi huo katika maeneo mbalimbali ya Mji wa Unguja. kama inavyoonekana Ujenzi huo ukiendelea katika eneo la mikunguni mtaro huo ukiwa katika uchimbaji huo kuunganishwa na eneo linalokaa maji la sebleni kuungani mtaro huo kuweza kuondoa maji haji hadi pwani ya kinazini.
Benki ya CRDB Yashinda Tuzo ya Dhahabu ya Kimataifa ya Uwekezaji Katika
Jamii Kupitia CRDB Bank Marathon
-
Benki ya CRDB imeshinda tuzo ya dhahabu ya Kimataifa ya Uwekezaji katika
Jamii (International CSR Awards 2025) kupitia mbio zake za kimataifa ya
CRDB BANK...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment