Katibu Mkuu Wizara ya Michezo Vijana Sanaa na Utamaduni Zanzibare Ndg. Omar Hassan King akisalimiana na Timu ya Vijana ya Central Timu ya Suhad AFC,wakatin wa ufunguzi huo wa mchezo wa kwanza kwa Timu za Central na Basketi Ball. Ufunguzi huo umezikutanisha Timu za Central za Suhad AFC na Befic na kwa upande wa Timu za Mpira wa Kikapu umezikutanisha Timu za New West ma Rangers.
RAIS SAMIA AIPA TANROADS BIL 66 KUANZA UREJESHAJI MIUNDOMBINU YA BARABARA
ILIYOHARIBIKA
-
Na Mathias Canal
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan ametoa
Bilioni 66 kwa ajili ya kuanza urejeshaji wa miundombinu ya bar...
38 minutes ago
No comments:
Post a Comment