Msanii Nyota kutoka Nchini Sudan akitowa burudani kwa Wananchi na Wageni waliofika katika viwanja vya Bustani ya Forodhani Zanzibar kufuatilia maonesho ya Tamasha la Sauti za Busara Zanzibar, linalofanyika katika v\bustani ya Forodhani na Ukumbi wa Mambo Club Ngome Kongwe Forodhani Zanzibar.
AKUKURU YAFANIKISHA MAREJESHO YA SH.MILIONI 439.2 KUTOKA KWA WANUFAIKA WA
MIKOPO ASILIMIA 10 JIJI LA TANGA
-
Kamanda wa Takukuru Mkoa wa Tanga Victor Swella akizungumza na waandshi wa
habari ambao hawapo pichani wakati akitoa taarifa ya utendaji kazi kwa
kipindi ...
5 minutes ago
No comments:
Post a Comment