Wasanii kutoka Nchi mbalimbali wanaonda Kikundi cha Swahili Culture, wakitowa burudani katika Jukwaa la Sauti za Busara katika ukumbi wa Mambo Club Ngome Kongwe Zanzibar, wakati wa Onesho hilo maalum lililoundwa na Manguli hao wa Muziki kutoka Nchini mbalimbali wanaoshiriki Tambasha la Sauti za Busara Zanzibar.
Kampuni ya Haier yazindua bidhaa za viyoyozi (AC) jijini Dar es Salaam
-
Kampuni ya mabingwa wa vifaa vya kielektroniki Haier wamefanya mkutano wa
uzinduzi wa bidhaa za viyoyozi (AC) katika ukumbi wa Hyatt regency, the
kilimanja...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment