Vijana wa Kikundi cha Kidedea kutoka Kajengwa Makunduchi wakitowa burudani ya kuhamasisha Michuano ya Fainali ya Michuano ya Yamleyamle CUP ZBC Zanzibar, imeibuka mshindi wa Vikundi vya uhamasishaji katika michuano hiyo na kujinyakulia Tunzo na Fedha Taslim shilingi Laki Moja.
TIRDO YAFANIKISHA KUFUNGA MTAMBO UNAOONDOA GANDA LAINI LA KOROSHO
-
Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania (TIRDO) limefanikisha
kufungwa kwa mtambo unaoondoa ganda laini la korosho ili kuongeza thamani
zao hil...
35 minutes ago
No comments:
Post a Comment