Mashabiki na Wapenzi wa Timu ya Mlandege wakishangilia Timu yao wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar.Timu hizo zimetoka sare ya bila kufungana.
Mshambuliaji wa Timu ya JKU akimpita beki wa Timu ya Mlandege wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar, Timu hizo zimetoka sare ya bila kufungana.
No comments:
Post a Comment