Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akivuta utepe pamoja na viongozi wengine
kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi ujenzi wa Majengo mapya ya Chuo cha Ualimu
Mpuguso Rungwe mkoani Mbeya.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwasalimia wananchi wa Mpuguso Rungwe
mkoani Mbeya mara baada ya kuweka jiwe la msingi msingi ujenzi wa Majengo mapya
ya Chuo cha Ualimu Mpuguso.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa Rungwe hawaonekani
pichani wakati akielekea Chuo cha Ualimu Mpuguso kilichopo Rungwe mkoani Mbeya.
Wananchi wa Rungwe mkoani Mbeya wakimsikiliza
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
wakati aliposimama kuwasalimia kabla ya kwenda Chuo cha Ualimu Mpuguso.
Picha na Ikulu.
No comments:
Post a Comment