Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na viongozi wengine wa Mkoa wa Mbeya,
Mawaziri, Wabunge akikata utepe kufungua kiwanda cha Maparachichi cha Rungwe
Avocado Campany mkoani Mbeya.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akikagua maparachichi yanayohifadhiwa kwa ajili ya kusafirishwa nje ya nchi katika kiwanda
cha Rungwe Avocado Campany mkoani Mbeya.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akikagua maparachichi yanayohifadhiwa kwa ajili ya kusafirishwa nje ya nchi katika kiwanda cha Rungwe Avocado Campany mkoani Mbeya.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. John
Pombe Magufuli akiangalia mashine maalumu ya kuangalia ubora wa maparachichi katika kiwanda
cha Rungwe Avocado Campany mkoani Mbeya.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akikagua maparachichi yanayohifadhiwa kwa ajili ya kusafirishwa nje ya nchi katika kiwanda cha Rungwe Avocado Campany mkoani Mbeya.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akikagua maparachichi yanayohifadhiwa kwa ajili ya kusafirishwa nje ya nchi katika kiwanda cha Rungwe Avocado Campany mkoani Mbeya.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. John
Pombe Magufuli akizungumza na wafanyakazi pamoja na wananchi katika eneo la kiwanda cha
cha Rungwe Avocado Campany mkoani Mbeya.
Picha na Ikulu.
No comments:
Post a Comment