Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanawema Shein, akijumuika na Watoto Wanaoishi katika Kijiji cha Watoto Cha SOS Mombasa Zanzibar Wilaya ya Magharibi B Unguja katika futari Maalium aliyowaandalia Watoto wa SOS jana katika makaazi yao.
Watoto wa Kijiji cha Watoto cha SOS Mombasa Zanzibar wakichukua futari Maalum walioandaliwa na Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein na kujumuika yao katika futari hiyo iliofanyika katika makaazi yao Mombasa Zanzibar.
Watoto wa Kijiji cha Watoto cha SOS Mombasa Zanzibar wakichukua futari Maalum walioandaliwa na Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein na kujumuika yao katika futari hiyo iliofanyika katika makaazi yao Mombasa Zanzibar.
Watoto wa Kijiji cha Watoto cha SOS Mombasa Zanzibar wakichukua futari Maalum walioandaliwa na Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein na kujumuika yao katika futari hiyo iliofanyika katika makaazi yao Mombasa Zanzibar.
Watoto wa Kijiji cha Watoto cha SOS Mombasa Zanzibar wakichukua futari Maalum walioandaliwa na Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein na kujumuika yao katika futari hiyo iliofanyika katika makaazi yao Mombasa Zanzibar.
No comments:
Post a Comment