Habari za Punde

Breeking News Kuullu Nafsi Dhalika Tul Mauti Innalli Lahh Innalli Rajuun Abdi Ali Mzee Mrope

Kwa habari zilizotufikii muda huu Ndugu yetu Abdi Ali Mzee (Mrope)Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Amani Kichama Unguja   amefariki dunia jioni hii akiwa katika matibabu Hospitali ya Taifa Muhimbili Jijini Dar es Salaam. 
Alikuwa Nahodha wa Timu ya African Kids ya Mikunguni Unguja na pia alikuwa mkufunzi wa ukocha wa Timu ya Kwa Boko Kidongochekundu  

Maziko yanatarajiwa kufanyika kesho Msikiti wa kwa Boko Zanzibar baada ya sala ya Adhuhuri  baada kufika kwa mwili wa marehemu ukitokea Jijini Dar es Salaam yalikomkuta mauti jioni hii 
Innalli Llaah Inna Rajun.

Mungu Amlaze mahala pema poponi Ameen. 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.