Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na
Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbasi akimkabidhi jarida la Nchi Yetu
Tanzania, Nahodha wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) anayekipiga katika
Klabu ya KRC Genk ya Nchini Ublegiji Mbwana Samatta amara baada ya mazungumzo
baina yao katika Ofisi za Idara ya Habari (MAELEZO) leo Jumanne (Mei 28, 2019)
Jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na
Msemaji Mkuu wa Serikali, (wa tatu kulia) Dkt. Hassan Abbasi akiwa katika picha
ya pamoja na Nahodha wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) na Mshambuaji
wa Klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji (katikati) mara baada ya kumalizika kwa
mazungumzo baina yao katika Ofisi za Idara ya Habari (MAELEZO leo Jumanne Jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na
Msemaji Mkuu wa Serikali, (wa tatu kulia) Dkt. Hassan Abbasi akizungumza na
Nahodha wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) na Mshambuliaji wa Timu ya
KRC Genk ya Ubelgiji Mbwana Samatta wakati wa mazungumzo baina yao katika Ofisi
za Idara ya Habari (MAELEZO) leo Jumanne Jijini Dar es Salaam.
Nahodha wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa
Stars) na Mshambuaji wa Kalbu ya KRC Genk ya Ubelgiji akifafanua jambo ka
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji Mkuu wa Serikali, (wa tatu
kulia) Dkt. Hassan Abbasi wakati wa mazungumzo baina yao katika Ofisi za Idara
ya Habari (MAELEZO) leo Jumanne Jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Utalii ya Samatta
Tours, Hamisi Waziri akifafanua jambo kwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Dkt. Hassan
Abbasi wakati wa mazungumzo baina yao katika Ofisi za Idara ya Habari (MAELEZO)
leo Jumanne (Mei 28, 2019) Jijini Dar es Salaam. Katikati ni Nahodha wa Timu ya
Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) Mbwana Samatta.
No comments:
Post a Comment