Habari za Punde

NAMBA ZA SIMU KUHUSU KATAZO LA MIFUKO YA PLASTIKI


JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YA MAKAMU WA RAIS
 








TAARIFA KWA UMMA

NAMBA ZA SIMU KUHUSU KATAZO LA MIFUKO YA PLASTIKI
Kufuatia Katazo la Matumizi ya Mifuko ya Plastiki kuanzia tarehe 1Juni 2019, Ofisi ya Makamu wa Rais imeandaa namba maalumu za simu kwa ajili ya wananchi kuuliza maswali na kutoa maoni, ushauri ama taarifa yoyote.

Mwananchi hataingia gharama kupiga simu katika namba hizi ambazo zinapatikana masaa 24, ukiwa na swali, maoni, ushauri ama taarifa yoyote usisite kuwasiliana nasi au kutuma ujumbe mfupi (SMS) au Ujumbe wa Whatsapp kwa namba zifuatazo:

KUPIGA BILA MALIPO                                                  SMS/WHATSAPP
(0800 110 115)                                                                +255 737 796 253
(0800 110 116)                                                                +255 737 796 252
(0800 110 117)                                                                +255 737 796 249
(0800 110 118)                                                                +255 737 796 250
(0800 110 119)                                                                +255 737 796 251

·       Namba hizi zitaanza kutumika rasmi siku ya Jumatatu 27/05/2019
  

IMETOLEWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI
25 MEI 2019


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.