Habari za Punde

Mashindi ya Kuhifadhi Quran Tukufu Wanafunzi wa Jimbo la Ole Kisiwani Pemba.

Waheshimiwa Mussa Ali Mussa wa Jimbo la Ole Pemba , na Mheshimiwa Ali Suleiman Shihata , Mheshimiwa Panya Ali Abdalla Viti maalumu Kaskazini Unguja  wakiwa katika hafla ya mashindano ya kuhifadhi Quraan tukufu yalioandaliwa na jumuiya ya Maendeleo ya kuhifadhisha quraan ya Jimbo la Ole .

Wanafunzi akishiriki katika mashindano ya Kuhifadhi Quran Juzuu majo  mpaka juzuu 30  yaliofanyika katika Jimbo la Ole Pemba na kuwashirikisha Wanafunzi wa rika mbalimbali 

Wanafunzi akishiriki katika mashindano ya Kuhifadhi Quran Juzuu majo  mpaka juzuu 30  yaliofanyika katika Jimbo la Ole Pemba na kuwashirikisha Wanafunzi wa rika mbalimbali 
Wanafunzi akishiriki katika mashindano ya Kuhifadhi Quran Juzuu majo  mpaka juzuu 30  yaliofanyika katika Jimbo la Ole Pemba na kuwashirikisha Wanafunzi wa rika mbalimbali 

Baadhi ya Wanafunzi wa Madrasa mbali za Ole wakisikiliza Wanafunzi wenzao wakisoma katika mashindano hayo. 
Picha na Bakar Mussa Pemba.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.