Habari za Punde

Wakurugenzi wa Halmashauri 10 Watakiwa Kuhakikisha Mradi wa Timiza Ndoto Yako Unatekelezwa Kikamilifu

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Uwekezaji) Bi. Dorothy Mwaluko akisisitiza umuhimu wa Wakurugenzi wa Halmashauri zinazonufaika na mradi wa timiza ndoto zako Walayani Bahi Mkoani Dodoma
MkuuwaWilayayaBahiMhe. MwanahamisiMukundaakizungumzawakatiwahaflayakuzunduliwakwamradiwatimizandotoyakoWilayaniBahimkoani Dodoma.
MkurugenziMtendajiwaTumeyaTaifayaKudhibiti UKIMWI (TACAIDS) Dkt. Leonard MabokoakisisitizajambokwaKatibumkuuOfisiyaWaziriMkuu(Sera, UratibunaUwekezaji) Bi DorothyMwalukoambayealikuwamgenirasmiwakatiwahaflayakuzinduamradiwatimizandotozako.
KatibumkuuOfisiyaWaziriMkuu (Sera, UratibunaUwekezaji) akiwanamkurugenziwa TAYOABw. Peter MasikamarabaadayakutembeleabasilinalotoahudumazaupimajiwaVirusivya UKIMWI na UKIMWI wakatiwahaflayakuzinduamradiwatimizandotozakoWilayaniBahimkoani Dodoma.
MwenyekitiwaKamatiyaKudumuya Bunge ya UKIMWI naDawazaKulevyaMhe. Oscar Mukasaakizungumzakatikahaflayakuzinduliwakwamradihuo.

PIX6.SehemuyawanafunzinawazaziwaliohudhuriahaflayauzinduziwamradiwatimizandotozakowakifuatiliauzinduzihuoWilayaniBahi.
SehemuyawanafunzinawazaziwaliohudhuriahaflayauzinduziwamradiwatimizandotozakowakifuatiliauzinduzihuoWilayaniBahi.
Kikundi cha ngomakikitumbuizawakatiwahaflayauzinduziwamradiwatimizandotozako.

PIX8.KatibuMkuuOfisiyaWaziriMkuu(Sera, UratibunaUwekezaji) Bi DorothyMwalukoakitetajambonaMkurugenziMtendajiwaTumeyaKudhibiti UKIMWI Tanzani (TACAIDS) Dkt. Leonard MabokowakatiwauzinduziwaprogramuhiyoWilayaniBahiMkoani Dodoma.
KatibuMkuuOfisiyaWaziriMkuu(Sera, UratibunaUwekezaji) Bi DorothyMwalukoakitetajambonaMkurugenziMtendajiwaTumeyaKudhibiti UKIMWI Tanzani (TACAIDS) Dkt. Leonard MabokowakatiwauzinduziwaprogramuhiyoWilayaniBahiMkoani Dodoma.
MwakilishiwaShirika la UmojawaMataifa la Kupambanana UKIMWI (UNAIDS) Bw. KoechRotichkatikahaflayakuzinduamradiwaTimizandotoyakoBw. AkizungumzawakatiwauzinduziwahuoWilayaniBahi

SehemuyawanufaikawamradiwaTimizandotozakowakitoashuhudazamafunufaawanayopatakupitiamradihuonakupongezaSerikalikwakuwezeshautekelezajiwamradihuo.
 Baadhiyawazaziwawanafunziwanaonufaikanamradiwatimizandotozakowakitoaushuhudawafaidazamradihuo .
MbungewaBahiMhe.OmaryBaduelakisisitizaumuhimuwawanufaikawamradiwatimizandotozakokutumiamradihuokujikwamuanakujileteamaendeleo.
(PichazotenaOfisiyaWaziriMkuu)

Na MwandishiWetu
Wakurugenzi 10 waHalmashaurizaWilayawametakiwaKuhakikishakuwamradiwatimizandotozakokwawasichanaBalehewaliopomashuleninawalionjeyamfumowaelimuunatekelezwakamailivyopangwanaSerikaliilikuletamatokeochanya.
Akizungumzakwaniabaya Waziri waNchi, Ofisiya Waziri Mkuu Sera, Bunge,Kazi,Vijana,AjiranaWenyeUlemavuMhe. JenistaMhagamaMei 25, 2019 WilayaniBahimkoani Dodomawakatiwauzinduziwamradihuo, KatibuMkuuOfisihiyoanayeshughulikia Sera UratibunaUwekezaji Bi. DorothyMwalukoamesemakuwadhamirayaSerikalinikuonamradihuounaletaukomboziwakwelikwamtotowa kike.
“ WalioposhuleninanjeyamfumowaelimunivyemamkatambuakuwamradihuunifursayakuwawezeshakujikwamuakiuchuminakuepeukavishawishinamaambukiziyaVirusivyaukimwikwaniSerikaliinatambuakuwakumuwezeshamtotowa kike nikuiwezeshajamiinzima”Alisema Bi. Doorthy.
Mradihuuunatekelezwakatikamikoaya Dodoma, Morogorona SingidaambapojumlayaHalmashuri 10 katikamikoahiyozinanufaika.Utekelezaji wake unatokananausaidiziwafedhakutokakutokaMfukowaDuniakwaajiliyakuendelezamapambanodhidiyamaambukiziyaVirusivya UKIMWI naatharizake.
Akifafanuaamesemakuwawatekelezajiwamradihuowanalojukumu la kuwajengeauwezowanaufaikailihatabaadayakipindi cha mradiwawezekujitegemeanakuondokananautegemezikutokakwaserikaliambapokwasasawanafunzikutoka Kaya masikiniwanawezeshwakupatataulozakujisitiripamojanamahitajimengineikiwemosarezashule.
AliongezakuwawanafunziwotewanapaswakutambuakuwaSerikaliinawekezafedhanyingikatikamradihuokwakutambuaumuhimuwakundihiloilikujikwamuakielimunakutumiavyemavipajiwalivyonavyo.
Kwa upande wake MkuuwaWilayayaBahiMhe. MwanamisiMukundaakizungumzakwaniabayaMkuuwaMkoahuoDkt.BinilithMahengeamasemakuwamradihuoumesaidiakuongezakiwango cha ufaulukatikaWilayahiyo, mahudhurioyawanafunzishuleniyameongezekakwakiwangokikubwa.
“TunaishukuruSerikaliyaAwamuyaTanokwakutuleteamradihuukatikaWilayayetukwaniumeoneshamafanikiomakubwakwakipindi cha majaribioambachoumetekelezwakwaniumewanufaishaWanawakeVijanawenyeumriwakatiyamiaka 10- 24”,alisisitizaMhe. Mwanahamisi.
Akifafanuaamesemakuwamradihuoumefikia Kaya 265 nawasichana 129unawanufaishawasichanabalehewalioposhulenina wale wanjeyashule  45.
NayeMkurugenziMtendajiwaTumeyaTaifayaKudhibitiUkimwi (TACAIDS)Dkt. LeonardMabokoamesemakuwamradihuoniwamiaka 3naunatekelezwakatikamikoa 3 ambapowanufaikawamradiwalionjeyashulewatajengwewauwezokwakupewastadizamaisha.
AlitajasababuzakuwalengawasichanawanaobaleheDkt. Mabokoamesemakuwanipamojanakundihilohilokuwawaathirikawakubwaambapoasilimia 80 yamaambukiziya VVU yamewaathirivijanawakundihilo.
Mmojawawazaziwawanafunziwalionufaikanamradihuo Bi MayasaMussaamesemakuwawanafunziwanafurahiamradihuonaariyakwendashuleimeongezekakwanikilamweziwanapokeaelfu 25,000/- kwamwezikuwawezeshakukidhimahitajimuhimuyawanafunzihaoikiwemokupatatauloza kike, sarezashulenamahitajimengine.

MradiwaTimizandotozakounatekelezwakatikamikoa 3 naHalmashurinaHalmashuri 10 ukilengakuwawezeshawasichanawaliobalehewakiwamashulenina wale walionjeyamfumowaelimu.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.