Naibu Khadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh Hassan Othman Ngwali akiongoza Sala ya Kuusalia Mwili wa Marehemu Abdi Ali Mzee (Mrope) Sala iliofanyika Msikiti wa Kwa Boko Kidongochekundu Zanzibar baada t ya Sala ya Adhuhuri na kuzikwa katika makaburi ya Jumbi Wilaya ya Kati Unguja
Mamia ya Wananchi Kisiwani Zanzibar wajumuika kuusalia mwili wa Marehemu Abdi Ali Mzee (Mrope) sala iliyofanyika Msikiti wa Kwa Boko Kidongochekundu Zanzibaer na kuzikwa katika makaburi ya Jumbi Wilaya ya Kati Unguja jana 26-5-2019.
Kiongozi wa CCM Wilaya ya Amani Kichama akisoma wasifu wa Marehemu Abdi Ali Mzee (Mrope) baada ya kumalizika hafla hiyo ya maziko yaliofanyika katika makaburi ya Jumbi Wilaya ya Kati Unguja jana 26-5-2019.
Mwakilishi wa Famili ya Marehemu Abdi Ali Mzee (Mrope) akitowa neno la shukrani kwa Wananchi kwa ushirikiano wao katika kufaniukisha shughuli za maziko ya ndugu yao, tokea kuunguza hadi kufikia hatua hii ya maziko hii leo.
No comments:
Post a Comment