Habari za Punde

Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar Mhe. Balozi Mohammed Ramia Afanya Ziara Kisiwani Pemba leo.

WAZIRI wa Fedha na Mipango Zanzibar Balozi Mohamed Ramia Abduwawa, akipata maelezo juu ya uhifaji wa mafuta kutoka kwa mmoja ya watendaji wa Kituo cha GAPCO Wesha Chake Chake Pemba
WAZIRI wa Fedha na Mipango Zanzibar Balozi Mohamed Ramia Abduwawa, akionyeshwa baadhi ya matangi ya kuhifadhia mafuta kutoka kwa mmoja wa watendaji wa Kampuni ya GAPCO huko Wesha Chake Chake Pemba
 BALOZI Mohamed Ramia Abduwawa, akiangalia uhalali wa mafuta ya kula katika dumu la lita 20, baada ya kuteremshwa katika bandari ya Wete kutoka kwenye moja ya meli zinazoteremsha migo kwa kutumia bandari hiyo, wakati wa ziara ya kuangalia utendaji wa kazi katika vitengo vilivyochini ya Wizara yake Pemba

AFISA Mdhamini Wizara ya Fedha na Mipango Pemba Ibrahim Saleh Juma, akitoa malezo kwa waziri wa fedha na watendaji wake baada ya kuwasili katika ofisi ya GAPCO Wete, kujuwa hali halisi ya uingiaji na utokaji wa mafuta wakati wa ziara yake kisiwani Pemba.(PICHA NA HANIFA SALIM, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.