KUELEKEA skukuu ya Edd lfitr baadhi ya vifaa vimeanza kufanyiwa ukarabati vilivyomo ndani ya kiwanja cha kufurahishia watoto Tibirinzi, wakiwa katika matengenezo hayo mafundi wakizifanyia matengenezo vigari vya kupandia watoto kianjani hapo
MMOJA wa Mafundi kutoka ZSSF akiweka girisi katika moja ya vifaa vilivyomo ndani ya kigari cha kufurahishia watoto, ili kulainisha baadhi ya vipuri vilivyomo ndani ya kigari hicho, kama alivyokutwa wakiwa katika kazi hiyo.
BAADHI ya vigari vya kufurahishia watoto vilivyomo ndani ya kiwanja cha Tibirini Chake Chake Pemba, vikiwa vimeberuliwa na kusubiri kufanyiwa ukarabati kama vinavyoonekana.(Picha na Abdi Suleiman Pemba
No comments:
Post a Comment