RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.
Ali Mohamed Shein amefanya uteuzi wa viongozi katika taasisi mbalimbali za
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
1.OFISI YA RAIS TAWALA ZA
MIKOA SERIKALI ZA MITAA NA IDARA MAALUMU ZA SMZ.
· Mkuu wa Wilaya ya Wete Pemba – Kapteni Khatib Khamis Mwadini.
·
Mkuu wa Wilaya ya Magharibi A Unguja – Bwana Abeid Juma Ali.
·
Katibu Tawala wa Mkoa wa
Mjini/ Magharibi – Bwana Saleh Mohamed Juma.
·
Katibu Tawala wa Wilaya
Magharibi A – Said Haji Mrisho.
·
Mkurugenzi wa Idara ya
Uratibu wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Dkt.Haji Salim Khamis.
2.WIZARA YA
BIASHARA NA VIWANDA
·
Katibu Mkuu wa Wizara ya
Biashara na Viwanda – Juma Hassan Reli
·
Mkurugenzi wa Idara ya
Maendeleo ya Viwanda – Abdulla Rashid Abdulla
·
Ofisa Mdhamini wa Wizara ya
Biashara na Viwanda Pemba Bwana Ali Suleiman Abeid.
3.TUME YA
MIPANGO
i. Katibu Mtendaji wa Tume ya
Mipango – Bwana Mwita Mgeni Mwita
ii.
Kamishna wa Idara ya Ukuzaji
wa Uchumi na Mashirikiano baina ya Sekta ya Umma na
Sekta Binafsi – Dkt.Rahma
Salim Mahfoudh.
iii.
Mkurugenzi wa Idara ya
Uendeshaji na Utumishi katika Tume ya Mipango – Bibi Maryam
Nassor Uki.
4.WIZARA YA
ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI
i. Mwenyekiti wa Bodi ya Huduma
za Maktaba – Bwana Yahya Idris Abdulwakil
ii.
Mwenyekiti wa Bodi ya Mkaguzi
Mkuu wa Elimu – Dkt.Ali Ussi Makame
5. WIZARA
YA HABARI,UTALII NA MAMBO YA KALE
i. Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la
Utangazaji la Zanzibar (ZBC) – Bwana Chande Omar Omar.
ii.
Mkuu wa Chuo cha Uandishi wa
Habari Zanzibar – Bibi Imane Osmond Duwe.
Uteuzi huo umeanza leo tarehe 11 Juni 2019.
No comments:
Post a Comment