Habari za Punde

Serikali Yashirikiana na Kampuuni za Simu Kusaidia Watoto,Wanawake Kwenye Sekta Mbalimbali

Mkurugenzi wa Taasisi ya Vodacom Tanzania  Foundation na Afisa Uhusiano wa Taasisi hiyo, Rosalynn Mworia akizungumza kuhusu uzinduzi wa  Ripoti ya Jamii kutoka Vodacom ( Social Impact Report and new strategy to deliver inclusive growth) inayohusu kazi zinazofanywa na Taasisi hiyo, uliofanyika Juni 27, 2019, Jijini Dar es Salaam.
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, TAMISEMI, Joseph Kandege akihutubia kwenye hafla ya  uzinduzi wa  Ripoti ya Jamii kutoka vodacom ( Social Impact Report and new strategy to deliver inclusive growth) inayohusu kazi zinazofanywa na Taasisi hiyo, uliofanyika Jijini Dar es Salaam.
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, TAMISEMI, Joseph Kandege, akikata utepe kuzindua Ripoti ya Jamii  kutoka Vodacom ( Social Impact Report and new strategy to deliver inclusive growth) inayohusu kazi zinazofanywa na Taasisi hiyo, uliofanyika jijini Dar es Salaam, kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya TCRA, Dkt. Jones Kilimbe, kutoka kushoto ni Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Dkt. Leonard Akwilapo, Mkurugenzi wa Taasisi ya Vodacom Tanzania na Afisa Mahusiano wa Taasisi hiyo, Rosalynn Mworia na Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom, Hashim Hendi.
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, TAMISEMI, Joseph Kandege, akikata utepe kuzindua Ripoti ya Jamii  kutoka Vodacom ( Social Impact Report and new strategy to deliver inclusive growth) inayohusu kazi zinazofanywa na Taasisi hiyo, uliofanyika Jijini Dar es Salaam, kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya TCRA, Dkt. Jones Kilimbe, kutoka kushoto ni Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Dkt. Leonard Akwilapo, Mkurugenzi wa Taasisi ya Vodacom Tanzania na Afisa Mahusiano wa Taasisi hiyo, Rosalynn Mworia na Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom, Hashim Hendi.

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, TAMISEMI, Joseph Kandege (wa tatu kushoto) akifurahia jambo na Mkuu wa Jeshi la Polisi Mstaafu Suleiman Kova( wa pili kushoto), wakati wa uzinduzi wa  Ripoti ya Jamii kutoka Vodacom ( Social Impact Report and new strategy to deliver inclusive growth) inayohusu kazi zinazofanywa na Taasisi hiyo, uliofanyika leo Juni 27, 2019, Jijini Dar es Salaam, wa kwanza kushoto ni Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Dkt. Leonard Akwilapo na kulia ni Mkurugenzi wa Taasisi ya Vodacom Tanzania na Afisa Mahusiano wa Taasisi hiyo, Rosalynn Mworia.
(Picha na Paschal Dotto-MAELEZO)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.