Shamba la Utalii wa Ndani la Miti mbalimbali ya Viungo vya Zanzibar Wilaya ya Magharibi B Unguja likiwa katika eneo la Kitundu. Hupatikana Miti yote ya Zanzibar ya Matunda na Viungo Asilia vya Zanzibar. Hutoa huduma ya Utalii kwa Wananchi wa Ndani na Wageni kutembelea shamba hilo kujionea Maliasili ya Zanzibar .
WIZARA YA NISHATI KUJA NA MPANGO WA KUNADI VITALU VYA UTAFUTAJI WA GESI NA
MAFUTA NCHINI
-
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulia Mafuta na Gesi Dkt
James Mataragio akizungumza wakati alipofungua Kikao cha Pili cha Mkutano
wa Pil...
52 minutes ago
No comments:
Post a Comment