Shamba la Utalii wa Ndani la Miti mbalimbali ya Viungo vya Zanzibar Wilaya ya Magharibi B Unguja likiwa katika eneo la Kitundu. Hupatikana Miti yote ya Zanzibar ya Matunda na Viungo Asilia vya Zanzibar. Hutoa huduma ya Utalii kwa Wananchi wa Ndani na Wageni kutembelea shamba hilo kujionea Maliasili ya Zanzibar .
TANESCO Yatoa Wito kwa Wananchi Kulinda Miundombinu ya Umeme wa Gridi ya
Taifa
-
Msimamizi wa Msongo wa Kilovoti 220 kwa mikoa ya Njombe na Ruvuma Mhandis
Liberatus Juma, , amewataka wananchi kutofanya shughuli za kibinadamu
karibu na m...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment