Aisa Matekelezo Mwandamizi wa PSSSF, Bw. Donald Peter Maeda (kulia), akimsikiliza Mwanachama huyu aliyefika banda la Mfuko kupatiwa huduma. |
Mkurugenzi wa banda la PSSSF Bi.Eunice Chiume (kushoto), akimsikiliza Mwanachama wa Mfuko huo, aliyetembelea banda hilo kupatiwa huduma.
Buonekano wa banda namba 13 la PSSSF.
Afisa Matekelezo PSSSF, Bi. Getrude Athanas (kulia), akimuhudumia Mwanachama wa Mfuko aliyefka yeye na familia yake kwenye banda la PSSSF ambalo linatumika kwa ushirikiano na NSSSF.
Afisa Matekelezo PSSSF, Bi. Getrude Athanas (kulia), akimuhudumia Mwanachama wa Mfuko aliyefka yeye na familia yake kwenye banda la PSSSF ambalo linatumika kwa ushirikiano na NSSSF.
Afisa Uhusiano Mwandamizi PSSSF, Bw. Abdul Njaidi (aliyekaa), kwa kushirikiana na Afisa Mafao, wa Mfuko Bw. Salvatory Matemu kutafuta taarifa za michango ya Mwanachama (hayupo pichani).
No comments:
Post a Comment