Mwenyekiti wa timu ya Polisi Tanzania Kamishna
wa Polisi Charles Mkumbo (Kulia) na Mwenyekiti wa Kampuni za Lodhia Bw. Harun
Lodhia wakisaini mkataba wa udhamini ambapo kampuni ya Lodhia itakuwa mdhamini
mkuu wa timu hiyo katika kipindi cha mwaka mmoja. Hafla hiyo ilifanyika jijini
Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa timu ya Polisi Tanzania Kamishna
wa Polisi Charles Mkumbo (Kulia) na Mwenyekiti wa Kampuni za Lodhia Bw. Harun
Lodhia wakisaini mkataba wa udhamini ambapo kampuni ya Lodhia itakuwa mdhamini
mkuu wa timu hiyo katika kipindi cha mwaka mmoja. Hafla hiyo ilifanyika jijini
Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa timu ya Polisi Tanzania Kamishna
wa Polisi Charles Mkumbo (Kulia) na Mwenyekiti wa Kampuni za Lodhia Bw. Harun
Lodhia wakibadilishana mkataba wa udhamini baada ya kusaini ambapo kampuni ya
Lodhia itakuwa mdhamini mkuu wa timu hiyo katika kipindi cha mwaka mmoja. Hafla
hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Mambo ya
Ndani ya nchi Mhe. Kangi Lugola akizungumza katika hafla maalumu ya kumtambulisha mdhamini
mkuu wa timu ya Polisi Tanzania inayoshiriki Ligi kuu Tanzania bara Kampuni ya
Lodhia. Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi Mhe. Kangi
Lugola akizungumza na Mwenyekiti wa Makampuni ya Lodhia Bw. Harun Lodhia ambaye
ndiye mdhamini mkuu wa timu ya Polisi Tanzania wakati wa hafla ya kutambulishwa
kwake jijini Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment