Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Mbunge wa Jimbo la Mtama Mhe.Nape
Nnauye aliyefika Ikulu jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kumuomba msamaha kwa Rais Dkt.
Magufuli kufuatia tukio lililotokea miezi iliyopita.
Mbunge wa Jimbo la Mtama Mhe. Nape
Nnauye akimshukuru Rais wa Jamhuriya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John
Pombe Magufuli mara baada ya mazungumzo yao pamoja na kusamehewa kosa aliliofanya Ikulu jijini
Dar es Salaam.
Mbunge wa Jimbo la Mtama Mhe.Nape
Nnauye akizungumza na Wanahabari mara baada ya mazungumzo yake na Rais wa Jamhuri ya Muunganowa
Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe.Dkt. John
Pombe Magufuli akizungumza na Wanahabari mara baada ya mazungumzo yake na Mbunge wa Jimbo la Mtama Mhe.Nape Nnauye Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muunganowa
Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Mbunge wa Jimbo la Mtama Mhe.Nape
Nnauye mara baada ya mazungumzo yao Ikulu jijini Dar es Salaam.
Picha na Ikulu.
No comments:
Post a Comment