Habari za Punde

Ziara ya Msemaji Mkuu wa Serikali BRELA.


Mkurugenzi wa Idara ya Habari –MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serilkali, Dkt.Hassan Abbasi akizungumza na Menejimenti ya wafanyakazi wa Wakala wa Usajili wa Leseni na Biashara (BRELA) alipotembelea kwa zira ya kikazi iliyofanyika Jijini Dar es Salaam, Septemba 4, 2019.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari –MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serilkali, Dkt.Hassan Abbasi akizungumza na Menejimenti ya wafanyakazi wa Wakala wa Usajili wa Leseni na Biashara (BRELA) alipotembelea kwa zira ya kikazi iliyofanyika Jijini Dar es Salaam

Mkurugenzi wa Idara ya Habari –MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serilkali, Dkt.Hassan Abbasi, akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa Wakala wa Usajili wa Leseni na Biashara (BRELA) pamoja na Viongozi  Chama cha Maafisa Mawasiliano na Mahusiano Serikalini(TAGCO) wakati wa zaira ya kikazi iliyofanyika Jijini Dar es Salaam, Septemba 4, 2019.
 Picha na Idara ya Habari-MAELEZO.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.