Habari za Punde

Mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar Kati ya Timu ya Kipanga na Mafunzo Mchezo Uliofanyika Uwanja wa Mao Zedong Timu hizo Zimetoka Sare ya Bao 1- 1.

Mchezaji wa Timu ya Mafunzo akijiandaa kumpita mchezaji wa Timu ya Kipanga wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika katika Uwanja wa Mao Zedong. Timu hizo zimetoka sare ya bao 1-1.















No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.