Mshambuliaji wa Timu ya Malindi Selembe akiruka juu akipiga mpira kichwa huku Kipa wa Timu ya Zimamoto akijiandaa kuokoa mpira huo wakati wa mchezo wao wa ligi kuu ya Zanzibar uliofanyika Uwanja wa Mao Zedong Timu ya Zimamoto imeshinda mchezo huo kwa bao.1-0
Mchezaji wa Timu ya Malindi na Zimamoto wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa ligi kuu ya Zanzibar uliofanyika Uwanja wa Mao Zedong.Timu ya Zimamoto imeshinda mchezo huo kwa bao.1-0
No comments:
Post a Comment