Mchezaji wa Timu ya Beitras akijianda kurusha mpira golini kwa Timu ya Polisi wakati wa mchezo wa Michuano ya Kombe la Karume Cup mchezo uliofanyika Uwanja wa Mao Zedong Zanzibar Timu ya Polisi imeshinda mchezo huo .
TAMTHILIA YA NICE TO MEET YAMDONDOSHA TUSA MSIMU WA PILI
-
WADAU wa Filamu nchini wanapaswa Kupewa moyo kwa Watayarishaji kuhakikisha
wanatengeneza Kazi zenye Viwango na weledi ili kuendelea kulipa hadhi soko
la fi...
3 hours ago

No comments:
Post a Comment