Mchezaji wa Timu ya Beitras akijianda kurusha mpira golini kwa Timu ya Polisi wakati wa mchezo wa Michuano ya Kombe la Karume Cup mchezo uliofanyika Uwanja wa Mao Zedong Zanzibar Timu ya Polisi imeshinda mchezo huo .
OUT YAONGOZA MJADALA WA MAENDELEO ENDELEVU BARANI AFRIKA, KONGAMANO LA
BAASANA
-
Kongamano la Pili la Kitaaluma la BAASANA Afrika limezinduliwa rasmi
jijini Arusha, likiwakutanisha wanazuoni na wataalamu kutoka mataifa
mbalimbali kuja...
29 minutes ago
No comments:
Post a Comment