Habari za Punde

Waziri Mkuu Mhe.Majaliwa Akiwa Katika Picha ya Pamoja ya Wakuu wa Nchi na Serikali wa Mataifa ya Afrika na Rais wa Urusi. VLADIMIR PUTIN

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa pamoja na viongozi  Wakuu wa Nchi na Serikali kutoka Mataifa  ya Afrika wakiwa katika picha ya pamoja  na Rais wa urusi, Vladimir Putin kabla ya kuanza kwa    Mkutano baina ya Urusi na Afrika unaofanyika,  Sochi nchini Urusi, Oktoba 24, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.