Habari za Punde

Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar Balozi Ramia Afanya Ziara ya Kushtukia ZRB Wesha.

WAZIRI wa Fedha Zanzibar Balozi Mohamed Ramia Abduwawa, akiangalia baadhi ya stakbadhi za malipo ya vyombo vinavyotoshwa ushuru katika bandari ya Wesha Kisiwani Pemba, wakati alipofanya ziara ya kushtukiza katika ofisi ya ZRB Wesha
WAZIRI wa Fedha Zanzibar Balozi Mohamed Ramia Abduwawa, akiangalia baadhi ya stakbadhi za malipo ya vyombo vinavyotoshwa ushuru katika bandari ya Wesha Kisiwani Pemba, wakati alipofanya ziara ya kushtukiza katika ofisi ya ZRB Wesha  katikati ni mfanyakazi wa ZRB kituo cha Wesha .
([PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.