Habari za Punde

MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AFUNGUA MKUTANO WA MAWAZIRI WA AFYA WA NCHI ZA SADC

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiagana na Katibu Mtendaji wa SADC Dkt. Stergmena Tax  baada ya kufungua Mkutano wa siku tano kwa Mawaziri wa Sekta ya Afya na Ukimwi  kwa Nchi Kumi na Sita Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) Unaojadili Mustakbali wa Masuala yote ya afya,  Mikakati dhidi ya Ukimwi, kuangalia hatua iliyofikiwa katika utekelezaji wa Itifaki ya Afya ya SADC ya Mwaka 1999,  Mpango Mkakati wa Kanda wa Masuala ya Afya na kuridhia kwa pamoja Maazimio mbalimbali yanayohusiana na  Afya kwa Nchi za SADC.  Mkutano huo Umefunguliwa leo Novemba 07,2019 katika Ukumbi wa Mikutano wa Benki Kuu ya Tanzania Jijini Dar es salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu alipowasili katika Ukumbi wa  Mikutano wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT  CC) Jijini Dar es salaam leo Novemba 07, 2019 kwa ajili ya kufungua Mkutano wa siku tano kwa Mawaziri wa Sekta ya Afya na Ukimwi  kwa Nchi Kumi na Sita Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) Unaojadili Mustakbali wa Masuala yote ya afya,  Mikakati dhidi ya Ukimwi, kuangalia hatua iliyofikiwa katika utekelezaji wa Itifaki ya Afya ya SADC ya Mwaka 1999,  Mpango Mkakati wa Kanda wa Masuala ya Afya na kuridhia kwa pamoja Maazimio mbalimbali yanayohusiana na  Afya kwa Nchi za SADC.  

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akifungua Mkutano wa siku tano kwa Mawaziri wa Sekta ya Afya na Ukimwi  kwa Nchi Kumi na Sita Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) Unaojadili Mustakbali wa Masuala yote ya afya,  Mikakati dhidi ya Ukimwi, kuangalia hatua iliyofikiwa katika utekelezaji wa Itifaki ya Afya ya SADC ya Mwaka 1999,  Mpango Mkakati wa Kanda wa Masuala ya Afya na kuridhia kwa pamoja Maazimio mbalimbali yanayohusiana na  Afya kwa Nchi za SADC.  Mkutano huo Umefunguliwa leo Novemba 07,2019 katika Ukumbi wa Mikutano wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT CC) Jijini Dar es salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiagana na Katibu Mtendaji wa SADC Dkt. Stergmena Tax  baada ya kufungua Mkutano wa siku tano kwa Mawaziri wa Sekta ya Afya na Ukimwi  kwa Nchi Kumi na Sita Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) Unaojadili Mustakbali wa Masuala yote ya afya,  Mikakati dhidi ya Ukimwi, kuangalia hatua iliyofikiwa katika utekelezaji wa Itifaki ya Afya ya SADC ya Mwaka 1999,  Mpango Mkakati wa Kanda wa Masuala ya Afya na kuridhia kwa pamoja Maazimio mbalimbali yanayohusiana na  Afya kwa Nchi za SADC.  Mkutano huo Umefunguliwa leo Novemba 07,2019 katika Ukumbi wa Mikutano wa Benki Kuu ya Tanzania Jijini Dar es salaam.(Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.