Mshambuliaji wa Timu ya Mlandege akimpita beki wa Timu ya Mafunzo wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar Timu ya Mlandege imeshinda mchezo huo kwa bao 3-2.
TASAC YAENDELEZA ELIMU KWA WAVUVI
-
Na Mwandishi Wetu, Geita
Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limeanzisha kampeni ya kutoa
elimu ya usafiri salama wa majini katika Wilaya ya Chato ...
11 hours ago

No comments:
Post a Comment