Habari za Punde

Uzinduzi wa Kitabu Cha Masuala ya Unyanyasaji wa Kijinsia Kwenye Vyombo vya Habari.

Mwakilishi wa UN Women Nchini, Bi. Hodan Addou akizungumza na washiriki wa Jukwaa la Waandishi wa Habari Wanawake kuhusu unyanyasaji wa Kijinsia kwenye vyombo vya habari,  lilifanyika Jijini Dar es Salaam
Mwandishi wa Habari Mkongwe, Pili Mtambalike akichangia mada katika Jukwaa la Waandishi  wa Habari Wanawake kuhusu unyanyasaji wa Kijinsia kwenye vyombo vya habari,  lilifanyika Jijini Dar es Salaam
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Haarrison Mwakyembe, akikata utepe kuzindua kitabu cha Masuala ya unyanyasaji wa kijinsia kwenye vyombo vya habari katika jukwaa la Waandishi wa habari wanawake, lilifanyika Jijini Dar es Salaam 

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Haarrison Mwakyembe na Mwakilishi wa UN Women nchini, Bi. Hodan Addou, wakionyesha nakala ya kitabu cha Masuala ya unyanyasaji wa kijinsia kwenye vyombo vya habari, kilichozinduliwa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo katika Jukwa la Waandishi wa Habari Wanawake  lilifanyika Jijini Dar es Salaam leo Novemba 29, 2019.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.