Mchezaji wa Timu ya KVZ akiwa na mpira akijaribu kuwapita wachezaji wa Timu ya JKU katika mchezo wa Kombe la Wooter Africa uliofanyika katika Uwanja wa Basket Mao Zedong Timu ya JKU imeibuka mshindi katika mchezo huo kwa vikapu 47 -42.
MAVUNDE AIAGIZA TUME YA MADINI KUWASILISHA ORODHA YA WAZALISHAJI WA MADINI
ILI KUWAKUTANISHA NA BENKI RAFIKI
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma.
SERIKALI imeiagiza Tume ya Madini kuwasilisha orodha ya wazalishaji wote
waliopo nchini ili iweze kuwasaidia kuwakuta...
5 hours ago

No comments:
Post a Comment