Mchezaji wa Timu ya KVZ akiwa na mpira akijaribu kuwapita wachezaji wa Timu ya JKU katika mchezo wa Kombe la Wooter Africa uliofanyika katika Uwanja wa Basket Mao Zedong Timu ya JKU imeibuka mshindi katika mchezo huo kwa vikapu 47 -42.
SERIKALI YAZITAKA TAASISI ZA FEDHA ZA KUTOA MIKOPO KUFUATA UTARATIBU
-
Na. Josephine Majura, WF, Dodoma
Serikali imesema kuwa inaendelea kuchukua hatua mbalimbali za kisera,
kiutawala na kisheria ili kudhibiti tabia ya baadhi ...
46 minutes ago
No comments:
Post a Comment