Mchezaji wa Timu ya KVZ akiwa na mpira akijaribu kuwapita wachezaji wa Timu ya JKU katika mchezo wa Kombe la Wooter Africa uliofanyika katika Uwanja wa Basket Mao Zedong Timu ya JKU imeibuka mshindi katika mchezo huo kwa vikapu 47 -42.
Serikali Yatajivunia Mafanikio ya Maboresho ya Bandari ya Dar es Salaam
Katika Siku 100 za Uongozi wa Rais Samia
-
Na Avila Kakingo, Michuzi Tv
MSEMAJI wa Serikali na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na
Michezo, Gerson Msigwa, amesema Serikali ya Awam...
4 hours ago
0 Comments