Mchezaji wa Timu ya KVZ akiwa na mpira akijaribu kuwapita wachezaji wa Timu ya JKU katika mchezo wa Kombe la Wooter Africa uliofanyika katika Uwanja wa Basket Mao Zedong Timu ya JKU imeibuka mshindi katika mchezo huo kwa vikapu 47 -42.
Kimataifa : EU na UNHCR Wasaini makubaliano ya zaidi bilioni 9 kuimarisha
Ulinzi na msaada wa wakimbizi
-
Mwandishi Wetu , Dar Es Salaam.
Umoja wa Ulaya (EU) na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi
Duniani (UNHCR) wamesaini makubaliano mapya ya u...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment