Mchezaji wa Timu ya Mpira wa Kikapu wa Rangers akimpita mchezaji wa Timu ya Stone Town wakati wa mchezo huo kuwania Kombe la Wooter Africa mchezo uliofanyika katika Uwanja wa Mao Zedung Zanzibar Timu ya Stone Town imeibuka kwa vikapu 62 - 54.
WIZARA FEDHA YAPOKEA TUZO MBILI ZA USHINDI SHEREHE ZA MEI MOSI
-
Katibu wa Hazina Sports Club, Bw.Kelvin Kakoko, akipokea tuzo ya ushindi wa
kwanza wa mchezo wa mpira wa miguu kutoka kwa Mhe. Dkt. Samia Suluhu
Hassan, R...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment