Mchezaji wa Timu ya Mpira wa Kikapu wa Rangers akimpita mchezaji wa Timu ya Stone Town wakati wa mchezo huo kuwania Kombe la Wooter Africa mchezo uliofanyika katika Uwanja wa Mao Zedung Zanzibar Timu ya Stone Town imeibuka kwa vikapu 62 - 54.
MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR -UFUNGUZI WA KONGAMANO LA MKUPONGEZA
RAIS WA ZANZIBAR
-
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, amesema katika
kipindi cha miaka mitano iliyopita, Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali
(WEMA)...
58 minutes ago
No comments:
Post a Comment