Habari za Punde

Michuano ya Kombe la Wooter Africa Basket Ball Zanzibar Kati ya Rangers na StonTown Mchezo Uliofanyika Uwanja wa Mao Zedong Timu ya Stone Town Imeibuka kwa Vikapu 62 - 54.Ndani iCball ka

Mchezaji wa Timu ya Mpira wa Kikapu wa Rangers akimpita mchezaji wa Timu ya Stone Town wakati wa mchezo huo kuwania Kombe la Wooter Africa mchezo uliofanyika katika Uwanja wa Mao Zedung Zanzibar Timu ya Stone Town imeibuka kwa vikapu 62 - 54.










No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.