Kamanda
wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa akizungumza na waandishi
wa habari (hawapo pichani), kuhusu fedha bandia na vifaa vya kutengeneza fedha
hizo zilizokamatwa Chanika nje kidogo ya Jijini la Dar es Salaa, Mkutano huo
ulifanyika katika Ukumbi wa Benki Kuu Jijini Dar es Salaam
Gavana
wa Benki Kuu ya Tanzania , Prof.
Florence Luoga akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani), kuhusu
fedha bandia na vifaa vya kutengeneza fadha hizo zilizokamatwa Chanika nje
kidogo ya Jijini la Dar es Salaa, Mkutano huo ulifanyika katika Ukumbi wa Benki
Kuu Jijini Dar es Salaam
Gavana
wa Benki Kuu ya Tanzania, Prof.Florence Luoga(wa pili kulia) akiwaonesha noti
bandia ya Tsh.5000, Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sebaya(wa kwanza kulia)
na vingozi wengine kutoka benki kuu wakati wa kuonesha fedha bandia na vifaa
kwa waandishi wa habari katika Mkutano ulifanyika katika Ukumbi wa Benki Kuu
Jijini Dar es Salaam
Kamanda
wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa akiwaonesha waandishi
wa habari (pichani), fedha bandia na vifaa vya kutengeneza fadha hizo
zilizokamatwa Chanika nje kidogo ya Jijini la Dar es Salaa, Mkutano huo
ulifanyika katika Ukumbi wa Benki Kuu Jijini Dar es Salaam, Disemba 17, 2019,
kulia anayeangali ni Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanznaia, Dkt. Bernad Kibese.
Fedha
bandia zilizokamatwa Chanika nje kidogo ya Jijini la Dar es Salaa, zikiwa
tayari kuonyeshwa kwa waandishi wa habari katika Mkutano ulifanyika katika Ukumbi wa Benki Kuu
Jijini Dar es Salaam
Fedha
bandia zilizokamatwa Chanika nje kidogo ya Jijini la Dar es Salaa, zikiwa
tayari kuonyeshwa kwa waandishi wa habari katika Mkutano ulifanyika katika Ukumbi wa Benki Kuu
Jijini Dar es Salaam
Baadhi ya vifaa vya kutengeneza fedha bandia
vilivyokamatwa Chanika nje kidogo ya Jijini la Dar es Salaa, vikiwa tayari
kuonyeshwa kwa waandishi wa habari katika
Mkutano ulifanyika katika Ukumbi wa Benki Kuu Jijini Dar es Salaam,
Disemba 17, 2019.
No comments:
Post a Comment