Muonekano wa Jengo la Bandari na Soko la Samaki linalojengwa katika eneo la Malindi Jijini Zanzibar, kama linavyoonekana pichani uhalisia wa ramani ya jengo hilo linalijengwa na Kampuni ya Rinkai Nissan Construction Co.Ltd. kutoka Nchini Japan.
MUUNGANO WAZIDI KUIMARISHA USHIRIKIANO NA KUIBUA VIPAJI VYA MICHEZO
-
Wachezaji wa Timu ya Mpira wa Pete (Netiboli) ya Ofisi ya Makamu wa Rais
Muungano na (Mazingira) wakiwa katika picha ya pamoja muda mfupi baada ya
kuwasil...
3 hours ago
1 Comments
iam from kenya and my name is Ismail and i love that plan for soko ya samaki wa japani pia mm nina wahitaji
ReplyDelete