Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akisalimiana na Balozi wa Mdogo mpya wa India anaefanyia kazi zake Zanzibar Bw.Bhagwant Singh wakati alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kujitambulisha leo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akizungumza na Balozi wa Mdogo mpya wa India anaefanyia kazi zake Zanzibar Bw.Bhagwant Singh wakati alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kujitambulisha leo,
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akifuatana na mgeni wake Balozi wa Mdogo mpya wa India anaefanyia kazi zake Zanzibar Bw.Bhagwant Singh wakati alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kujitambulisha leo,[Picha na Ikulu]16/03/2020.
No comments:
Post a Comment