Innalilah Wainna Ilaiyh Rajiuun Sheikh Hussein Hassan almaarufu Sheikh Nyundo ametangulia mbele ya haki Allah amsamehe makosa yake amzidishie mezani yake katika mema yake mwenyenzi mungu ampe kauli thabiti Sheikh Nyundo.
Sheikh Nyundo amefariki leo alfajiri na maziko yake yatafanyika nyumbani kwao Kidongochekundu baada ya sala ya adhuhuri katika msikiti wa mshelishelini Kidongochekundu leo .
No comments:
Post a Comment