Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Waziri waVijana,
Sanaa na Michezo wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mhe.Balozi Ali
Karume pamoja na Viongozi wa Shirikisho la
Mpira wa Miguu wakiwapungia mkono wa salamu kwa Wapenzi na Mashabiki waliojitokeza katika Mchezo wa Ligi kuu wa Watani wa jadi kati ya Yanga na Simba Uliochezwa katika Uwanja wa Taifa jijini
Dar es Salaam. Machi 08,
2020. Mchezo uliomalizika kwa Ushindi wa goli moja kwa Yanga na Simba sifuri.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Waziri wa Michezo Dkt. Harrison
Mwakyembe, Waziri wa Vijana, Sanaa na Michezo wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Balozi
Ali Karume pamoja na Viongozi wa Shirikisho la
Mpira wa Miguu wakishuhudia Mchezo wa Ligi kuu wa Watani wa jadi kati ya Yanga na Simba mchezo uliofanyika katika Uwanja wa Taifa jijini
Dar es Salaam. Machi 08,
2020. Mchezo uliomalizika kwa Ushindi kwa Timu ya Yanga kwa Bao 1-0 dhidi ya Simba
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Waziri wa Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe, Waziri wa Vijana, Sanaa na Michezo wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Balozi Ali Karume pamoja na Viongozi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu wakishuhudia Mchezo wa Ligi kuu wa Watani wa jadi kati ya Yanga na Simba mchezo uliofanyika katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Machi 08, 2020. Mchezo uliomalizika kwa Ushindi kwa Timu ya Yanga kwa Bao 1-0 dhidi ya Simba
MashabikiwaKlabuyaYangawakiwawameshikabango
la KumkaribishaRaiswaJamhuriyaMuunganowa Tanzania MheshimiwaDkt. John
PombeMagufulikatikaMchezowaLigikuuwaWataniwajadikatiyaYanganaSimbaUliochezwakatikaUwanjawaTaifajijini
Dar es Salaam. Machi 08,
2020.MchezouliomalizikakwaUshindiwagolimojakwaYanganaSimbasifuri.
SehemuyaMashabikiwaKlabuyaYangawakishangiliambeleyaRaiswaJamhuriyaMuunganowa
Tanzania MheshimiwaDkt. John PombeMagufulikatikaMchezowaLigikuuwaWataniwajadikatiyaYanganaSimbaUliochezwakatikaUwanjawaTaifajijini
Dar es Salaam. Machi 08,
2020.MchezouliomalizikakwaUshindiwagolimojakwaYanganaSimbasifuri.
PICHA NA IKULU
No comments:
Post a Comment