Habari za Punde

TUME YARIDHISHWA NA MAENDELEO YA UJENZI WA OFISI DODOMA

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Rufaa (Mst) Semistocles Kaijage (wa tatu kushoto) akitoa maelekezo kwa wataalamu wanaoendelea na ujenzi wa jengo la Tume eneo la Njedengwa Jijini Dodoma. Jaji Kaijage ameongoza timu ya wajumbe wa Tume kufanya ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi huo jana. Ujenzi wa ofisi hizo umefikia asilimia 73. 
Wajumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) wakiwa kwenye picha ya pamoja na wataalamu wanaoendelea na ujenzi wa jengo la Tume mara baada ya kumaliza ziara ya ukaguzi wa maendeleo ya jengo hilo jana, ziara hiyo iliongozwa na Mwenyekiti wa Tume,  Jaji Rufaa (Mst) Semistocles Kaijage (wa tatu kushoto waliokaa). Ujenzi wa ofisi hizo umefikia asilimia 73. 
Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji (Mst) Thomas Mihayo akizugumza jambo wakati wa ziara ya Wajumbe wa Tume  kukagua maendeleo ya ujenzi wa ofisi za Tume eneo la Njedengwa Jijini Dodoma jana. Ziara hiyo iliongozwa na Mwenyekiti wa Tume,  Jaji Rufaa (Mst) Semistocles Kaijage . Ujenzi wa ofisi hizo umefikia asilimia 73. 
Meneja Mradi ambaye ni Mkadiriaji Majengo wa Chuo cha Ardhi, Godwin Maro  akitoa maelezo kwa wajumbe wa Tume walipotembelea jengo la ofisi za Tume eneo la Njedengwa Jijini Dodoma jana. Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Rufaa (Mst) Semistocles Kaijage aliwaongoza wajumbe wa Tume kwenye ziara hiyo. Ujenzi wa ofisi hizo umefikia asilimia 73.
Meneja Mradi ambaye ni Mkadiriaji Majengo wa Chuo cha Ardhi, Godwin Maro  akitoa maelezo kwa wajumbe wa Tume walipotembelea jengo la ofisi za Tume eneo la Njedengwa Jijini Dodoma jana. Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Rufaa (Mst) Semistocles Kaijage aliwaongoza wajumbe wa Tume kwenye ziara hiyo. Ujenzi wa ofisi hizo umefikia asilimia 73.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.