Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya,
Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Zainab
Chaula akitoa ufafanuzi kwa wajumbe wa Kamati ya Kitaifa ya Makatibu Wakuu ya kukabiliana na
COVID-19 baada ya kutembelea Hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha Mkoani Pwani leo tarehe 8 Aprili,
2020.
Kamati ya Kitaifa ya Makatibu Wakuu wakiongozwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya,
Dkt. Zainab Chaula wakitembelea Hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha Mkoani Pwani,
ambapo jengo moja lenye vitanda 40
litatumika kuwahudumia wagonjwa watakaobainika kuwa na virusi vya Corona.
Meneja wa mradi wa ujezi wa Hospitali ya kisasa ya magonjwa ya mlipuko, Kanali Solomoni Chausi akitoa taarifa mbele ya Kamati ya Kitaifa ya Makatibu Wakuu ya kukabiliana na COVID-19 walipofanya ziara yakutembelea mradi huo.
Meneja operesheni wa kiwanda cha kuzalisha barakoa
cha kampuni ya Pristine kilichopo Vingunguti jijini Dar es Salaam akitoataarifakuhusiananakiwandahichombeleyaKamatiyaKitaifayakukabilianana
COVID-19walipotembeleakiwandahicholeotarehe
No comments:
Post a Comment