Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akiwa na Viongozi wa Serikali katika hafla ya Dua Maalum ya kumuombea Rais wa Kwanza wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar. Mzee Abeid Amani Karume iliofanyika leo katika viwanja vya Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar. (kulia kwa Rais) Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar. Mhe. Mohammed Aboud Mohammed, Rais Mstaaf wa Zanzibar. Mhe. Dk. Amani Karume, wakiwa katika kaburi la marehemu kwa kuaza dua Maalum iliofanyika katika viwanja vya Afisi Kuu ya CCM Zanzibar leo.7/4/2020.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiwasili katika viwanja vya Afisi Kuu ya CCM Zanzibar, akipokelea na Kikosi Maalum cha JWTZ wakitowa saluti wakati akiingia katika viwanja hivyo kuhudhuria hafla ya Dua Maalum ya kumuombea Marehemu Mzee Abeid Amani Karume.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akielekea katika eneo la kaburi baada ya kuwasili katika viwanja vya Afisi Kuu ya CCM Zanzibar kuhudhuria hafla ya Dua Maalum ya kumuombea Rais wa Kwanza wa Zanzibare Mzee Abeid Amani Karume ,akiongozana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar. Mhe. Mohammed Aboud Mohammed.
Rais Mstaaf wa Zanzibar Mhe. Dkt. Amani Abeid Karume, akiwasili katika viwanja vya Afisi Kuu ya CCM Zanzibar kuhudhuria hafla ya Dua Maalum ya kumuombea Rais wa Kwanza wa Zanzibare Mzee Abeid Amani Karume ,akiongozana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar. Mhe. Mohammed Aboud Mohammed.Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa , akiwasili katika viwanja vya Afisi Kuu ya CCM Zanzibar kuhudhuria hafla ya Dua Maalum ya kumuombea Rais wa Kwanza wa Zanzibare Mzee Abeid Amani Karume ,akiongozana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar. Mhe. Mohammed Aboud Mohammed.
MUFTI Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi na
(kulia) Waziri wa Katiba na Sheria Zanzibar Mhe. Khamis Juma Mwalim na
(kushoto) Naibu Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Hassan Othman Ngwali, wakielekea
katika viwanja vya kaburi la Marehemu Abeid Amani Karume, kwa ajili ya
kumuombea Dua iliofanyiuka leo
VIONGOZI wa Madhehemu (kushoto) Askofu wa Kanisa la Anglikana
Dayosisi ya Zanzibar. Hafidh Michael na Kiongozi wa Madhehebu ya Hindu
Zanzibar. Pramuk Yoges wakielekea katika eneo la kaburi la Marehemu
Mzee Abeid Amani Karume, kwa ajili ya
kumuombea dua iliofanyika leo katika kaburi la marehemu viwanja vya
Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akihudhuria hafla ya dua ya kumuombea
Marehemu Mzee Abeid Amani Karume Rais wa Kwanza wa Serikali ya Mapinduzi
Zanzibar.(kushoto kwa Rais) Mkuu wa Brigedi ya Nyuki Zanzibar Brigedia Jenerali
Fadhil Omar Nondo na (kulia kwa Rais) Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa
Tanzania. Mhe. Kassim Majaliwa,Waziriu wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais
wa Zanzibar. Mhe. Mohammed Aboud Mohammed, Rais Mstaaf wa Zanzibar. Mhe. Dkt.
Amani Karume na Mwakilishi wa Mabalozi Wadogo Zanzibar. Balozi Mdogo wa
Msumbiji aliyopo Zanzibar Mhe. Jorge Augusto Menezez, wakiwa katika viwanja vya
Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui wakihudhuria hafla ya dua maalum ilioyofanyika leo
7/4/2020
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa Brigedi ya
Nyuki Zanzibar Brigedia Jenerali Fadhil Omar Nondo na (kulia kwa Rais) Waziri
Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri wa Nchi
Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar. Mhe.Mohammed Aboud Mohammen na
Rais Mstaaf wa Zanzibar, Mhe Dkt. Amani Karume, wakiitikia dua ikisomwa na
Mufti Mkuu wa Zanzibare Sheikh.Saleh Omar Kabi (hayupo pichani) wakati wa dua
hiyo ya kumuyombea Marehemu Mzee Abeid Amani Karume, iliofanyika katika kaburi
la marehemu viwanja vya Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar.(
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa Brigedi ya
Nyuki Zanzibar Brigedia Jenerali Fadhil Omar Nondo na (kulia kwa Rais) Waziri
Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri wa Nchi
Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar. Mhe.Mohammed Aboud Mohammen na
Rais Mstaaf wa Zanzibar, Mhe Dkt. Amani Karume, wakiitikia dua ikisomwa na
Mufti Mkuu wa Zanzibare Sheikh.Saleh Omar Kabi (hayupo pichani) wakati wa dua
hiyo ya kumuyombea Marehemu Mzee Abeid Amani Karume, iliofanyika katika kaburi
la marehemu viwanja vya Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar.
No comments:
Post a Comment