Wapendwa Wananchi Tunawasihi Kutumia Maji  Safi ya Kutiririka Kuosha Mikono kwa Sabuni  Mara kwa Mara ili kujikinga na Maambukizo ya Corona Virus 
Tuepuke Mikusanyiko isiyokuwa ya Lazima na kubaki nyumbani kujiepusha na Maambukizo ya CORONA 
 Tufuate maelekezo.

No comments:
Post a Comment