Habari za Punde

Tuchukue Tahadhari na Maambukizo ya Corona Nchini.

Wapendwa Wananchi Tunawasihi Kutumia Maji  Safi ya Kutiririka Kuosha Mikono kwa Sabuni  Mara kwa Mara ili kujikinga na Maambukizo ya Corona Virus 
Tuepuke Mikusanyiko isiyokuwa ya Lazima na kubaki nyumbani kujiepusha na Maambukizo ya CORONA 
 Tufuate maelekezo.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.