Watano kati ya wagonjwa hao 11 ni wanawake na wanaume 6. Wagonjwa wote wana umri kati ya miaka 11 na 80.
Waziri wa Afya Mutahi Kagwe amesema wagonjwa wapya saba wameripotiwa mjini Mombasa pwani ya Kenya huku wanne wakitokea jijini Nairobi.
Maelezo yanafuata.
Chanza cha Habari BBC.
No comments:
Post a Comment