Habari za Punde

Kutoka Bungeni leo Jijini Dodoma.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipita katika mashine maalum ya kunyunyuzia yenye  dawa  ya kujikinga na ugonjwa wa Corona wakati alipoingia kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Aprili 21, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.