Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Luhaga Mpina akisalimiana na Mwanafunzi
wa Darasa la Tano Shule ya Msingi Holly Cross ya Mjini Morogoro, Brian
Martin Martin leo huku wakichukua tahadhari ya maambukizi ya virusi vya
Corona walipokutana mjini Morogoro kwenye mapumziko ya Jumatatu ya
Pasaka. Picha na Mpiga Picha Wetu
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Akabidhi Sadaka ya
Futari Dahalia ya Lumumba
-
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdulla akikabidhi
sadaka ya futari kwa wanafunzi wa Dahalia wa Skuli ya Sekondari Lumumba
Zanzi...
1 minute ago
No comments:
Post a Comment