Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Luhaga Mpina akisalimiana na Mwanafunzi
wa Darasa la Tano Shule ya Msingi Holly Cross ya Mjini Morogoro, Brian
Martin Martin leo huku wakichukua tahadhari ya maambukizi ya virusi vya
Corona walipokutana mjini Morogoro kwenye mapumziko ya Jumatatu ya
Pasaka. Picha na Mpiga Picha Wetu
TANESCO YAOKOA UPOTEVU WA MAPATO WA SHILINGI BILIONI 1.7 KUPITIA ZOEZI LA
UKAGUZI WA MITA NCHINI
-
*Jumla ya wateja 1,700 wamebainika kutumia umeme kinyume na taratibu.
*Yatoa onyo kali kwa wateja wanaofanya udanganyifu kurejesha umeme kwa
kutumia vishok...
2 hours ago



No comments:
Post a Comment