Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Luhaga Mpina akisalimiana na Mwanafunzi
wa Darasa la Tano Shule ya Msingi Holly Cross ya Mjini Morogoro, Brian
Martin Martin leo huku wakichukua tahadhari ya maambukizi ya virusi vya
Corona walipokutana mjini Morogoro kwenye mapumziko ya Jumatatu ya
Pasaka. Picha na Mpiga Picha Wetu
TUZO ZA WAKUU NA WATENDAJI WA MAKAMPUNI 100 BORA ZINALENGA KUVUTIA
UWEKEZAJI NA KUKUZA UCHUMI WA TANZANIA
-
Waziri wa Kazi na Uwekezaji Zanzibar, Shariff Ali Shariff (katikati),
amesema tuzo za Wakuu na Watendaji wa Makampuni 100 Bora zimelenga kuvutia
Uwekezaj...
7 hours ago



No comments:
Post a Comment