Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Luhaga Mpina akisalimiana na Mwanafunzi
wa Darasa la Tano Shule ya Msingi Holly Cross ya Mjini Morogoro, Brian
Martin Martin leo huku wakichukua tahadhari ya maambukizi ya virusi vya
Corona walipokutana mjini Morogoro kwenye mapumziko ya Jumatatu ya
Pasaka. Picha na Mpiga Picha Wetu
KUNAMBI ACHANGIA SH MILIONI 1.5 NA MIFUKO 50 YA SARUJI UJENZI WA VYOO NA DARASA SHULE YA MSINGI NGAI
-
Charles James, Michuzi TV
TUMUUNGE Mkono Rais Magufuli! Hii ni kauli iliyotolewa na Mbunge wa Jimbo
la Mlimba, Godwin Kunambi alipofika katika Shule ya M...
24 minutes ago
No comments:
Post a Comment