Habari za Punde

WAZIRI MPINA AKISALIMIANA NA MWANAFUNZI HUKU MKAZO TAHADHARI DHIDI YA CORONA UKIENDELEA LEO JUMATATU YA PASAKA

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Luhaga Mpina akisalimiana na Mwanafunzi wa Darasa la Tano Shule ya Msingi Holly Cross ya Mjini Morogoro, Brian Martin Martin leo huku wakichukua tahadhari ya maambukizi ya virusi vya Corona walipokutana mjini Morogoro kwenye mapumziko ya Jumatatu ya Pasaka. Picha na Mpiga Picha Wetu
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Luhaga Mpina akisalimiana na Mwanafunzi wa Darasa la Tano Shule ya Msingi Holly Cross ya Mjini Morogoro, Brian Martin Martin leo huku wakichukua tahadhari ya maambukizi ya virusi vya Corona walipokutana mjini Morogoro kwenye mapumziko ya Jumatatu ya Pasaka. Picha na Mpiga Picha Wetu

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.